Nitasema - Jay Melody
Nitasema - Jay Melody

Nitasema

9 views

Nitasema Lyrics

Jay Melody - Nitasema Lyrics

[Verse]

Si unitoke hata mara moja
Akilini mwangu oh mara moja
Ninayopitia ni kama umeniroga
Haya mapenzi yaamenipa gonjwa

[Bridge]

Japo sijawai kukwambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeukota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how i feel

[Chorus]

Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me

[Verse]

Ooh
Na vitu vyako vinachanganya oh
Unugusapo kwisha mwenzio oh
Your magnet oh, unanivuta hapo
Utanitoa roho, jamani
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah mmmh

[Bridge]

Japo sijawai kukwambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeukota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how i feel

[Chorus]

Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!

Jay Melody Lyrics

Show all →