Nitasema Lyrics
Jay Melody - Nitasema Lyrics
[Verse]
Si unitoke hata mara moja
Akilini mwangu oh mara moja
Ninayopitia ni kama umeniroga
Haya mapenzi yaamenipa gonjwa
[Bridge]
Japo sijawai kukwambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeukota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how i feel
[Chorus]
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
[Verse]
Ooh
Na vitu vyako vinachanganya oh
Unugusapo kwisha mwenzio oh
Your magnet oh, unanivuta hapo
Utanitoa roho, jamani
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah mmmh
[Bridge]
Japo sijawai kukwambia
Jinsi ninavyo kuota
Nakuzimia moyo umeukota
Hii dunia nimempenda mmoja
Hizi hisia nitakwambia how i feel
[Chorus]
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Para ra ra raaaahh
How I feel
Para ra ra raaaahh
Nitasema me
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Unanikosha, unaniwasha, unalia paah moyo wangu
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!