Nazama - Jay Melody
Nazama - Jay Melody

Nazama

9 views

Nazama Lyrics

Jay Melody - Nazama Lyrics

[Intro]

Mmmh once again
Mmmh naitwa once again
Onaah nananaaah

[Verse 1]

Mapenzi ya usiku
Sio kama ya mchana
Usiku kigiza flani
Mchana tunaonana
Halafu kipaji anhaa
Amempa Maulana
Ananionesha michezo ambayo sijawahi ona

[Pre-Chorus]

Kwisha kabisa
Mwenzenu ananimaliza
Huu ufundi kapatia wapi
Mbona anapitiliza
Kwisha kabisa
Jamani anamiujiza
Penzi kalichomea ubani
Utamu tu ananipa

[Chorus]

Mwenzenu nazama
Mi sijui nifanyeje
Sijui mimi
Sijui nimekuaje
Sijui mimi
Nimekua kama bwegee
Mwenzenu
Naenjoy mwenyewe olaah

[Verse 2]

Hivi kwanini ukiitwa honey
Unasikia raha mpaka ndani oh
Hadi unatamani uiskie milele maishani
Namaanisha sio utani
Huu upendo umenipa amani
Wengine wanafika mbali
Eti mapenzi majani

[Pre-Chorus]

Kwisha kabisa
Mwenzenu ananimaliza
Huu ufundi kapatia wapi
Mbona anapitiliza
Kwisha kabisa
Jamani anamiujiza
Penzi kalichomea ubani
Utamu tu ananipa

[Chorus]

Mwenzenu nazama
Mi sijui nifanyeje
Sijui mimi
Sijui nimekuaje
Sijui mimi
Nimekua kama bwegee
Mwenzenu
Naenjoy mwenyewe olaah

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!