Nazama Lyrics
Jay Melody - Nazama Lyrics
[Intro]
Mmmh once again
Mmmh naitwa once again
Onaah nananaaah
[Verse 1]
Mapenzi ya usiku
Sio kama ya mchana
Usiku kigiza flani
Mchana tunaonana
Halafu kipaji anhaa
Amempa Maulana
Ananionesha michezo ambayo sijawahi ona
[Pre-Chorus]
Kwisha kabisa
Mwenzenu ananimaliza
Huu ufundi kapatia wapi
Mbona anapitiliza
Kwisha kabisa
Jamani anamiujiza
Penzi kalichomea ubani
Utamu tu ananipa
[Chorus]
Mwenzenu nazama
Mi sijui nifanyeje
Sijui mimi
Sijui nimekuaje
Sijui mimi
Nimekua kama bwegee
Mwenzenu
Naenjoy mwenyewe olaah
[Verse 2]
Hivi kwanini ukiitwa honey
Unasikia raha mpaka ndani oh
Hadi unatamani uiskie milele maishani
Namaanisha sio utani
Huu upendo umenipa amani
Wengine wanafika mbali
Eti mapenzi majani
[Pre-Chorus]
Kwisha kabisa
Mwenzenu ananimaliza
Huu ufundi kapatia wapi
Mbona anapitiliza
Kwisha kabisa
Jamani anamiujiza
Penzi kalichomea ubani
Utamu tu ananipa
[Chorus]
Mwenzenu nazama
Mi sijui nifanyeje
Sijui mimi
Sijui nimekuaje
Sijui mimi
Nimekua kama bwegee
Mwenzenu
Naenjoy mwenyewe olaah
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!