Jirani - Jay Melody
Jirani - Jay Melody

Jirani

14 views

Jirani Lyrics

Jay Melody - Jirani Lyrics

[Intro]

Ooh naaah nanaaah
Eti Jay once again

[Verse 1]

Akipita kwa nje mi nipo kwa dirisha
Namchungulia oh mpaka anafika
Ila sasa hizi habari nilizopata ndo zinanisikitisha
Et naambiwa ame hama kabisa
Ai wee

[Pre Chorus]

Nazi sio nazi, tui sio tui
Nitamwona wapi tena hata sijui
Uuuuh, nazi sio nazi
Oooh, tui sio tui
Nitampata wapi tena hata sijui

[Chorus]

Mbele ya macho yangu ametoweka
Simuoni tena jirani
Ooh, simuoni tena jirani
Shi, simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani

[Verse 2]

Nimemmiss kweli mpaka nataka kulia
Nikikumbuka asubuhi salam zake akini salimia
Hapa nilipo sielewi
Bora ningeshamwambia
Aondoke akijua ka nampenda tena kwa hisia

[Hook]

Jirani oh uko wapi aah
Aah jirani oh uko wapi aah eeh

[Pre Chorus]

Nazi sio nazi, tui sio tui
Nitamwona wapi tena hata sijui
Uuuuh, nazi sio nazi
Oooh, tui sio tui
Nitampata wapi tena hata sijui

[Chorus]

Mbele ya macho yangu ametoweka
Simuoni tena jirani
Ooh, simuoni tena jirani
Shi, simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!