Baridi Lyrics
Jay Melody - Baridi Lyrics
[Verse]
Lina bana lina tight
Sijawahi pata penzi la hivi
Hii kitu kutoka sio rahisi
Hata kuzama pia sio rahisi
Nahisi nimekolea sana
Kweli hivi sio kawaida
Maana wewe hujaachia mwanya
Umeniteka umeniiba
[Bridge]
Oooh! Ndoto zangu toka zamani
Kupata mtu kama wee
Nilalelale kifuani
Kichwani anitawale
Zangu toka zamani
Kupata mtu kama wee
Atae nipa burudani
Hivi
[Chorus]
Oooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Oooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Oooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Oooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
[Verse]
Na hapa nilipo nipo kileleni
Kama Kilimanjaro
Napenda unavyonipa vitu laini
Nachizika na ulio nayo
Baby kuwa nawe naskia raha
Kukupata naskia raha
Siunajua unavyo nikuna
Usiniache nitakesha bar
[Chorus]
Zangu toka zamani
Kupata mtu kama wee
Nilale lale kifuani
Kichwani anitawale
Zangu toka zamani
Kupata mtu kama wewe
Atae nipa burudani mmmmmh
Hivi
[Hook]
Oooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Oooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Oooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Oooh baby, hunnie
Naskia baridi mimi
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!