We Huogopi Lyrics
Phina - We Huogopi Lyrics
Yah, yah, yah, yah
Yah, yah, yah, yah, yah
Yaweh, Yaweh
Eh Mungu wangu, ona
Kidogo ulichonijalia mimi
Kuna watu wanakerekwa
Wanaumia yah, ah
Hapo ndo sina hata vyangu
Naishi nyumba ya kupanga
Sa nikijenga itakuaje?
Wataniwekea sumu
Wataniua mimi (aaah)
Siku hazifanani (aah)
Kesho yangu yaja (oh yaja)
Nitanunua kandinga
Wale watakao nipinga
Siwapandishi
Na Mungu si athumani (aah)
Jina langu litatajwa, litatajwa
Nitayashinda, namwamini yeye tu
Hamnitishi
Nalindwa na Sir God (we huogopi)
Nipo ngangari na siogopi chochote (we huogopi)
Ukirusha mshale unadunda (we huogopi)
Na ndo maana ni nadunda tu (we huogopi)
Nalindwa na Baba eh (we huogopi)
Nipo ngangari na siogopi chochote (we huogopi)
Ukirusha mshale unadunda (we huogopi)
Na ndo maana mi nadunda tu (we huogopi)
Mia yangu, jero yangu, buku yangu
Niko happy, kisichoriziki naachana nacho
Ndala yangu, bukta yangu, shati langu (eeh, mmh)
Niko happy, kisichoriziki naachana nacho
Siku hazifanani (aah)
Kesho yangu yaja (oh yaja)
Nitanunua kandinga
Wale watakao nipinga
Siwapandishi
Na Mungu si athumani (aah)
Jina langu litatajwa, litatajwa
Nitayashinda, namwamini yeye tu
Hamnitishi
Nalindwa na Sir God (we huogopi)
Nipo ngangari na siogopi chochote (we huogopi)
Ukirusha mshale unadunda (we huogopi)
Na ndo maana ni nadunda tu (we huogopi)
Nalindwa na Baba eh (we huogopi)
Nipo ngangari na siogopi chochote (we huogopi)
Ukirusha mshale unadunda (we huogopi)
Na ndo maana mi nadunda tu (we huogopi)
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!