Wawili - Phina
Wawili - Phina

Wawili

16 views

Wawili Lyrics

Phina - Wawili Lyrics

Ohh Melanin Queen, yeah!

La wawili
La wawili
La wawili

Tam tam
Ugali mwenzake mutindi
Mmmh, masham sham
Penzi umelijaza ndindi
Njoo, come come
Tucheze kuchi kama wahindi
Mi nawee dam dam
Hili game sindo washindi

Una mapenzi kedekede
Tufunge ndoa one day one day
Hata sitaki delay delay
Watanipora mabosi

Una mapenzi kedekede
Tufunge ndoa one day one day
Hata sitaki delay delay
Watanipora mashangingi

Hili penzi la wawili (la wawili)
La wawili (la wawili)
Wewe na mimi (la wawili)
Watatu wa nini

Hili penzi la wawili tu (la wawili)
La wawili (la wawili)
Wewe na mimi (la wawili)
Watatu wa nini

Sifa ya jongoo kujikunja kunja
Dawa ya khooo mkojo wa punda
Wanasema halina ubani la kuvunda
Mmmh, mi kwako taabani nakukunda

Nilimwomba Mungu anipe wakufanana nae
Akanipa wewee
Wakwangu mwenyewe aiii

Una mapenzi kedekede
Tufunge ndoa one day one day
Hata sitaki delay delay
Watanipora mabosi

Una mapenzi kedekede
Tufunge ndoa one day one day
Hata sitaki delay delay
Watanipora mashangingi

Hili penzi la wawili (la wawili)
La wawili (la wawili)
Wewe na mimi (la wawili)
Watatu wa nini

Hili penzi la wawili tu (la wawili)
La wawili (la wawili)
Wewe na mimi (la wawili)
Watatu wa nini

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!