Wawili Lyrics
Phina - Wawili Lyrics
Ohh Melanin Queen, yeah!
La wawili
La wawili
La wawili
Tam tam
Ugali mwenzake mutindi
Mmmh, masham sham
Penzi umelijaza ndindi
Njoo, come come
Tucheze kuchi kama wahindi
Mi nawee dam dam
Hili game sindo washindi
Una mapenzi kedekede
Tufunge ndoa one day one day
Hata sitaki delay delay
Watanipora mabosi
Una mapenzi kedekede
Tufunge ndoa one day one day
Hata sitaki delay delay
Watanipora mashangingi
Hili penzi la wawili (la wawili)
La wawili (la wawili)
Wewe na mimi (la wawili)
Watatu wa nini
Hili penzi la wawili tu (la wawili)
La wawili (la wawili)
Wewe na mimi (la wawili)
Watatu wa nini
Sifa ya jongoo kujikunja kunja
Dawa ya khooo mkojo wa punda
Wanasema halina ubani la kuvunda
Mmmh, mi kwako taabani nakukunda
Nilimwomba Mungu anipe wakufanana nae
Akanipa wewee
Wakwangu mwenyewe aiii
Una mapenzi kedekede
Tufunge ndoa one day one day
Hata sitaki delay delay
Watanipora mabosi
Una mapenzi kedekede
Tufunge ndoa one day one day
Hata sitaki delay delay
Watanipora mashangingi
Hili penzi la wawili (la wawili)
La wawili (la wawili)
Wewe na mimi (la wawili)
Watatu wa nini
Hili penzi la wawili tu (la wawili)
La wawili (la wawili)
Wewe na mimi (la wawili)
Watatu wa nini
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!