Do Salale - Phina
Do Salale - Phina

Do Salale

16 views

Do Salale Lyrics

Phina - Do Salale Lyrics

Doh salaleh nimeachwa 
Doh Doh nimepigwa kibuti 
Mmmh eti kisa jana 
Nimelala na nguo 
Anataka mapenzi 
Kwa mkupuo
Anasema sijui kuhandle 
Nikajifunze chuo 
Mmmh nimeachwa 
Anantesa nampenda japo 
Rangi yake ka jaluo 
Asubuhi mchana usiku mizagamuo 
Mi siwezi nimeachwa 
Natamani nilewe 
Ila sa nikilewa 
Pombe nazo zinashuka chini 
Nami sina wa ubani 
Nitafanya nini 
Yalah weeh 
Doh salaleh nimeachwa 
Doh Doh nimepigwa kibuti 
Doh salaleh nimeachwa 
Doh Doh nimepigwa kibuti 
Hayana urafiki mapenzi 
Oooh mapenzi 
Hayana ushikaji mapenzi 
Oooh mapenzi 
Magodoro yamelowana 
Hayana afadhali mapenzi 
Oooh mapenzi 
Huku owangu sio shwari mapenzi 
Ooooh mapenzi 
Magodoro yamelowana 
Ndani hapalaliki 
Natamani nilewe 
Ila sa nikilewa 
Pombe nazo zinashuka chini 
Nami sina wa ubani 
Nitafanya nini 
Yalah weeh 
Doh salaleh nimeachika mwenzenu 
Nimeachwa Oooh 
Doh Doh Doh nimepigwa kibuti 
Doh salaleh nimeachwa mimi  
Nimeachwa nimeachika mwenzenu 
Doh Doh Doh nimepigwa kibuti 
Doh salaleh 

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!