Si Unaniona - Phina
Si Unaniona - Phina

Si Unaniona

17 views

Si Unaniona Lyrics

Phina - Si Unaniona Lyrics

How many time do i have to tell you
I’m blessed, i’m blessed, i’m blessed
How many time do i have to tell you
I’m blessed, i’m blessed, i’m blessed
Shetani amenishindwa
Mwanadamu utaniweza wapi
Shetani amenishindwa
Mwanadamu utaniweza wapi
Majangiri wa furaha
Wapo mtaani
Wanakesha kuniwinda
Siwezekani
Mi si mtu wa majivuno
Mi si mtu wa maneno
Nalindwa na mungu wangu tu
Mi si mtu wa majivuno
Mi si mtu wa maneno
Nalindwa na mungu wangu tu
Si unaniona si sunaniona tu
Ninavyovimba
Si unaniona si sunaniona tu
Ninavyotamba
Si unaniona si sunaniona tu
Ninavyovimba
Si unaniona si sunaniona tu
Ninavyotamba
Pale pale
Pale pale
Tobo langu liko pale
Pale pale
Pale pale
Pale pale
Tobo langu liko pale
Pale pale
Pale pale
Pale pale
Malengo yangu yako pale
Pale pale
Pale pale
Pale pale
Malengo yangu yako pale
Pale pale
Majangiri wa furaha
Wapo mtaani
Wanakesha kuniwinda
Siwezekani
Mi si mtu wa majivuno
Mi si mtu wa maneno
Nalindwa na mungu wangu tu
Mi si mtu wa majivuno
Mi si mtu wa maneno
Nalindwa na mungu wangu tu
Si unaniona si sunaniona tu
Ninavyovimba
Si unaniona si sunaniona tu
Ninavyotamba
Si unaniona si sunaniona tu
Ninavyovimba
Si unaniona si sunaniona tu
Ninavyotamba

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!