Shukurani - Maua Sama
Shukurani - Maua Sama

Shukurani

13 views

Shukurani Lyrics

Maua Sama - Shukurani Lyrics

[Verse]

Hicho kibali umenipa
You know why eeh
Sina cha kukulipa
Kwangu you’re the one eeh
Unajua wapo wasionipenda
Lakini bado unanikinga
Upo Nami kila ninapokwenda
Hata kama ni sehemu usizopenda

[Pre-Chorus]

Wanatamani wanilaze macho
Ama kabisa nisione
Nisiwe hata na nilichonacho
Ila unaning’aza wanione

Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya

[Chorus]

Shukurani Kwako, uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)

[Verse]

Milango inazidi funguka
Na bado I am winning
Nikitazama nilipotoka
I am grateful unanibariki
Wanadhani yangu taaa itaZima
Mbona watasubiri sana
God’s making me shine like a star
Kila nnachomuomba ye hufanya

[Pre-Chorus]

Wanatamani wanilaze macho
Ama kabisa nisione
Nisiwe hata na nilichonacho
Ila unaning’aza wanione

Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya
Aaaaaaaaaaa aaiyaa ayyayayaya

[Chorus]

Shukurani Kwako, uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)

[Bridge]

Never seen this kind of love before
Never seen this kind of love before
Nеver seen this kind of love beforе
Never seen this kind of love before

[Chorus]

Shukurani Kwako
Uzima umenipa wewe
Shukurani Sana
Kila dakika kila wakati
Shukurani Baba
Shukurani (ooooyeaaayeah)

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!

Maua Sama Lyrics

Show all →