Nimeridhia - Maua Sama
Nimeridhia - Maua Sama

Nimeridhia

14 views

Nimeridhia Lyrics

Maua Sama - Nimeridhia Lyrics

[Verse]

Kwa goti aliingia
Nakutaka nimsamehe
Kumbe ananichora
Mapenzi yalinijia
Kwenye moyo shurba tele
Ya-radhi akanijia
Kidudu mtu shetani akayavuruga
Akaingia mashakani tukashindwana
Kidudu mtu shetani akayavuruga
Akaingia mashakani tukakwazana

[Pre-Chorus]

Nimeamini kwenye moyo huwezi penda mara mbili
Penzi ukalitia kasoro maskini mimi
Moyo wangu sio godoro, uwe juu me niwe chini
Si kisoda kwa kokoro, nimeshindwa mimi yeah

[Chorus]

Aaah haya nimeridhia (sawa)
Siwezi ng'ang'ania (sawa)
Aah haya nimeridhia (sawa)
Nimeshindwa mimi
Aaah haya nimeridhia (sawa)
Siwezi ng'ang'ania (sawa)
Aah haya nimeridhia (sawa)
Nimeshindwa mimi

[Verse]

Kweli sio siri, ilizingwa mapema
Tamu yako ya asili, ila ndani yachoma
Kheri kuwa dhahiri, maumivu kusema
Mlaghai kwa hili, nafsi yangu imenena
Nashukuru kwa kidogo, ulichonipa nimepokea
Nitabaki kwa mikogo, huyo mwengine kumngojea

[Pre-Chorus]

Nimeamini kwenyе moyo huwezi penda mara mbili
Penzi ukalitia kasoro maskini mimi
Moyo wangu sio godoro, uwе juu me niwe chini
Si kisoda kwa kokoro, nimeshindwa mimi yeah

[Chorus]

Aaah haya nimeridhia (sawa)
Siwezi ng'ang'ania (sawa)
Aah haya nimeridhia (sawa)
Nimeshindwa mimi
Aaah haya nimeridhia (sawa)
Siwezi ng'ang'ania (sawa)
Aah haya nimeridhia (sawa)

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!