Mr. DJ - Maua Sama
Mr. DJ - Maua Sama

Mr. DJ

14 views

Mr. DJ Lyrics

Maua Sama - Mr. DJ Lyrics

[Intro]

Samaaaaa!

[Verse 1]

Ulivyoniacha ulijua nitakufa
Ulivyoniacha ulijua nitaded
Ona mungu kanipigania mi nanenepa
Ona baba yeye kanipigania

[Pre-Chorus]

Sasa sasa hasira zanini (hasira zanini)
Makasiriko ya nini
We si uliniacha jamani
Una wako nyumbani

[Chorus]

Mr Dj weka wimbo
Nataka ex anione nimenunua iphone
Mr Dj weka wimbo
Nataka nimkere ex mpaka atoke humo ndani
Ebu toka hapa mwenzio nishajipata
Nishajipata mwenzio nishajipata

[Verse 2]

Mapenzi kudadadek
Mtu unampa moyo vyote kapiga deki
Toka hapa baba hunipati
Japo ata mia sina ila haunishiki

[Pre-Chorus]

Sasa sasa hasira zanini (hasira zanini)
Makasiriko ya nini
We si uliniacha jamani
Una wako nyumbani

[Chorus]

Mr Dj weka wimbo
Nataka ex anione nimenunua iphone
Mr Dj weka wimbo
Nataka nimkere ex mpaka atoke humo ndani

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!

Maua Sama Lyrics

Show all →