Itakuwaje - Maua Sama (feat. Alikiba)
Itakuwaje - Maua Sama (feat. Alikiba)

Itakuwaje

11 views

Itakuwaje Lyrics

Maua Sama (feat. Alikiba) - Itakuwaje Lyrics

[Intro]

M.A.U.A Sama
Yeah
Gini x66

[Verse 1 : Alikiba]

Nilisema sitopenda, nimependaa
Pendaa tena, aah (aaah)
Sasa nimeshatekwaa, mi nimetekwaa
Oh, tekwa tena

[Pre Chorus : Alikiba]

Yani kama njiwa tunapepea wawili
Mi na yeye, hatuna kitendawili
Nanenepa jamani, si kwa penzi hili
Nisipomwona, mi navurugwa akili

[Chorus : Maua Sama]

Mi nawaza, akiniacha
Saa itakuwaje? Saa itakuwaje? Saa itakuwaje?
Mi nawaza, akiniacha
Saa itakuwaje? Saa itakuwaje? Saa itakuwaje?

[Verse 2 : Maua Sama]

Maapenzi anayonipa
Sitomwacha hata aniache katakata
Kwa gari nimeshafika
Sitoshuka hata anishushe katakata
[Pre Chorus : Maua Sama]

Kama njiwa tunapepea wawili
Mi na yeye, hatuna kitendawili
Nanenepa jamani, si kwa penzi hili
Nisipomwona, mi navurugwa akili

[Chorus : Alikiba & Maua Sama]

Mi nawaza, akiniacha (Uanze wewe? Saa itakuwaje?)
Saa itakuwaje? Saa itakuwaje? Saa itakuwaje?
Mi nawaza, akiniacha (Uanze wewe au mimi?)
Saa itakuwaje? Saa itakuwaje? Saa itakuwaje?

[Outro]

Mi nawaza, akiniacha
Aaaaaaa saa itakuwaje, beibeeii?

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!