Naringa - Zuchu
Naringa - Zuchu

Naringa

86 views

Naringa Lyrics

intro

Mh-mmh
Nani Roney?
Ah, Roney (he-hey, yoh Tron)
Sing, mmh, eeh
Let sing, come on, eeh

verse

Sioni aibu
Kwa kila linalo nifika
Maana kukosea ni wajibu
Mola ameshaandika

pre-chorus

Na sianguki, mimi nimechaguliwa
Nnae mtegemea hachoki
Hajawahi kupitiwa
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri, nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie, upite kwake kwanza
Mungu wangu halali, ana ulinzi mkali

chorus

Na ndio mana naringa, naringa
Naringa, naringa
Naringa, nalindwa na mungu
Msinione navimba, navimba
Navimba, navimba
Navimba, nalindwa na mungu

bridge

Raise your glass
Cheers to the Lord

verse

Roho mbaya, ubinafsi hajaumbiwa nyungu-nyungu
Wala mtu mwenye maarifa
Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
Mtayasema nikifa ah, eh
Unaniona napambana, kwa tabu na dhoruba
Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng′o
Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa roho, eh

pre-chorus

Na sianguki mimi nimechaguliwa, aah
Nnae mtegemea hachoki
Hajawahi kupitiwa, hey
Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
Vinanipa ujasiri, nakua gado kamili
Ukitaka kunidhuru mie, upite kwake kwanza
Mungu wangu halali, ana ulinzi mkali

chorus

Na ndio mana naringa, naringa
Naringa, naringa
(Mimi) naringa, nalindwa na mungu
Msinione navimba, navimba (ooh)
Navimba, navimba
Navimba, nalindwa na mungu

outro

Kamix Slizer

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!

Zuchu Songs

Show all →
Single
3:54
Single
2:35
Single
2:53
Single
2:59
Single
3:53
Single
3:25
Single
3:11
Single
3:40
Single
3:34
Single
3:37
Single
3:31
Single
2:53
Single
2:20
Single
3:21
Single
3:01
Single
3:08
Single
3:38
Single
2:51
Single
3:12
Single
2:58
Single
2:45
Single
3:01
Single
5:57