Nakuelewa - Maua Sama
Nakuelewa - Maua Sama

Nakuelewa

8 views

Nakuelewa Lyrics

[Intro]

Oh oh yeah yeah
Oh yeah yeah

[Verse]

Siwezi ficha jungu li la kaya
Siri yanifukuta vibaya
Mi tapatapa nimelowa ile mbaya
Nyakanyaka moyo ume-desire

[Pre-Chorus]

Oh! Nikikupa moyo basi usiulize
Na kama ukinipa kweli usiniigize
Baki nami kwenye mwanga na giza
Usinipimie penzi ukinibamiza

[Chorus]

Mwenzako nakuelewa
Oou oo eeeee(Nakuelewa)
Ooou eeeee(Mwenzako nakuelewa)
Heeey oo eeeee(Nakuelewa)
Ooou eeeee

[Verse]

Ukiweza kunifanya nisijejutia
Ni thamani zaidi ya gari
Ukiweza penzi letu kulipalilia
Utamu na raha darling
Darling, Darling (oooo nananaaaa)
Hey baby baby (oooo nananaaaa)eeeh
Hizo mboni kama umenita
Kidari ulivyochanika
Hisia umezifunika
Umeninogea

[Pre-Chorus]

Ooooh nikikupa moyo basi usiulize
Ei na kama ukinipa kweli usiniigize
Oouh baki nami kwenye mwanga na giza
Usinipimiе penzi ukinibamiza

[Chorus]

Mwenzako nakuelеwa
Ooooh oooh yeee(nakuelewa)
Ou yei ye yeeeee
(mwenzako nakuelewa)
Hey o yee eeei(nakuelewa)

[Bridge]

Heeeeey yeyeye ah
Mwenzako nakuelewa
Nakuelewa
Mwenzako nakuelewa
Nakuelewa

[Outro]

Oou nikikupa moyo basi usiulize
Ei na kama ukinipa kweli usinigize
Habaaa!

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!

Maua Sama Songs

Show all →
Single
2:17
Single
3:39
Single
3:54
Single
3:08
Single
3:09
Single
2:45
Single
2:34
Single
3:06
Single
3:36
Single
3:41
Single
3:37
Single
3:18
Single
2:36
Single
4:14
Single
3:18