Rafiki - Phina
Rafiki - Phina

Rafiki

71 views

Rafiki Lyrics

We si mwana we mwanahamisi 
Nikiwepo unacheka 
Nikisepa unanidiss 
We si mwana we mwanahamisi 
Nikiwepo unacheka 
Nikisepa unaniiii 
Wana wengine wasee (wasengenyaji) 
Hatuwataki waseeee ( wasengenyaji) 
Wana wengine waseee wasee waseee (wasengenyaji ) 
Hatuwataki waseee seee (wasengenyaji) 
Sina nyota ya mtende kuotea jangwani 
Nina nyota ya kitanda nikipendwa nawekwa ndani 
Sina nyota ya mtende kuotea jangwani 
Nina nyota ya kitanda nikipendwa nawekwa ndani 
Unanidiss mie malaya mie mlevi
Eti nimeachika 
Kodi sijalipa (bado hujasema) 
Mie malaya mie mlevi (bado hujasema) 
Eti nimeachika 
Kodi sijalipa 
Namtafuta rafiki rafiki 
Rafiki yako nani nani nani 
Rafiki yangu shabiki shabiki shabiki 
Basi cheza nae nae nae 
Haya kidege zunguruka 
Ukitaka inama inuka 
Haya kidege zunguruka 
Ukitaka inama inuka 
Haya kidege zunguruka 
Ukitaka inama inuka 
We si mwana we mwanahamisi 
Nikiwepo unacheka 
Nikisepa unanidiss 
We si mwana we mwanahamisi 
Nikiwepo unacheka 
Nikisepa unaniiii 
Wana wengine wasee (wasengenyaji) 
Hatuwataki waseeee ( wasengenyaji) 
Wana wengine waseee wasee waseee (wasengenyaji ) 
Hatuwataki waseee seee (wasengenyaji) 
Doli Doli doli samwela 
Unaringia pipi 
Sifa ya mwanaume hela 
Doli Doli doli samwela 
Unaringia ndevu 
Sifa ya mwanaume hela 
Unanidiss mie malaya mie mlevi
Eti nimeachika 
Kodi sijalipa (bado hujasema) 
Mie malaya mie mlevi (bado hujasema) 
Eti nimeachika 
Kodi sijalipa 
Namtafuta rafiki rafiki 
Rafiki yako nani nani nani 
Rafiki yangu shabiki shabiki shabiki 
Basi cheza nae nae nae 
Haya kidege zunguruka 
Ukitaka inama inuka 
Haya kidege zunguruka 
Ukitaka inama inuka 
Haya kidege zunguruka 
Ukitaka inama inuka 

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!

Phina Songs

Show all →