Nawaza Lyrics
Diamond Platnumz - Nawaza Lyrics
Chorus
Nawa
Nawa
Nawa
Nawaza tu
Nawa
Nawa
Nawa
Nawaza tu
Verse 1
Nawaza pru mpaka maka Ruge amerudi tena
Je kwa huu mziki wa sasa sijui nini angesema!?
Na nimejifunza binadamu kweli hawana jema
Yani mtoto unaemtunza ndo anakuombea ukilema, nashangaa
Nawaza Vanny na Elizabeth, clip zao zikivuja
Ndoa itaimarika eti, au ndo ataifoja?!
Nawaza muchana, usiku jibu halifiki
Wanaonitukana, tuna bifu au ilimradi kiki?!
Nawaza kina Kimambi bwana wangekua wagawa ridhiki
Hivi kweli ningejulikana si wangenizima nsisike
Nlowaza leo nshawaza sana kina Kiba ugomvi kipi?!
Nikagundua ni ushamba na ujana wa kugombania mashabiki
Chorus
Nawa
Nawa
Nawa
Nawaza tu
Nawa
Nawa
Nawa
Nawaza tu
Oh nawaza
See Diamond Platnumz Live
Get tickets as low as $54
You might also like
Oka
Diamond Platnumz
Wonder
Diamond Platnumz
Kwa Ngwaru
Harmonize
(Verse 2)
Huenda Steven Kanumba angelikuwepo hai
Nawaza movie zetu pia tungejidai
Nawaazaa hivi kombe la dunia hatufikagi why?!
Nawaza, tatizo ni team au uongozi haufai
Mawazo mengine mtanange bora tuache yataleta ukakasi
Je angekuepo Muzee Nyange,Uncle Shamte angepata nafasi?!
Nawaza ka ngеkua na Wema Sepetu hadi lеo sijui ngekua nshafulia au zaidi maendeleo
Oh nawaza siku nikifa sijui wasafi itakufa
Nawaza sijui maradhi ama ajali itanikuta
Nawaza oh Mama Dangote nani chozi atamfuta
Nawaza sijui nyimbo zangu watazikumbuka, eeh
Nlowaza leo nshawaza sana nnachoshindwa kuwa kipi
Nikagundua naepusha lawama maana najijua kwa kucheat
Chorus
Nawa
Nawa
Nawa
Nawaza tu
Nawa
Nawa
Nawa
Nawaza tu
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!