Nani? Lyrics
intro
Mmmmh baaady Shiiih!
Nampenda mmoja sitaki mwingine Msiniwaze
Namtaka mmoja simtaki mwingine Msiniwaze
Aaaah
verse
Aaah nalia nalia naliaga
Akininunia napagawaga
Nalia nalia naliaga
Akinisusia nachachawaga
pre-chorus
Hivi huku ndo wanaitaga kupendana
Siwezi kula bila huyu kijana
Hivi haya haya ndo mapenzi
Siwezi kulala bila haka kadada
chorus
Nampenda mpenda
Msichana mmoja
Mweupe kidogo
Mweusi kidogo
chorus
Nampenda mpenda (Nani)
Msichana mmoja (Nani)
Mweupe kidogo (Nani)
Mweusi kidogo (Nani)
hook
Hivi huku ndo wanaitaga kupendana
Siwezi kula bila huyu kijana
Hivi haya haya ndo mapenzi
Siwezi kulala bila haka kadada
bridge
Ananikosha roho
Ananirusha roho
Ananikuna kuna
Ananirusha roho
verse
Anavyopita ananukia kama malaika
Ndo huyo huyo huyo shemu wenu
Anavutia kama malaika
Ndo huyo huyo huyo shemu wenu
bridge
Hivi huku ndo wanaitaga kupendana
Siwezi kula bila huyu kijana
Hivi haya haya ndo mapenzi
Siwezi kulala bila huyu kijana
chorus
Nampenda mpenda
Mkaka mmoja
Mweupe kidogo
Mweusi kidogo
chorus
Nampenda mpenda (Nani)
Mkaka mmoja (Nani)
Mweupe kidogo (Nani)
Mweusi kidogo (Nani)
outro
Hivi huku ndo wanaitaga kupendana
Siwezi kula bila huyu kijana
Hivi haya haya ndo mapenzi
Siwezi kulala bila huyu kijana
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!