Moyo Lyrics
Vee Money on the track, yeah
[Verse 1]
Moyo unanikosea, moyo unanikosea
Nakaa na wewe, natembea na wewe
Nalala na wewe, bado unanikosea
Zungumza nami mchana (La-la-la)
Zungumza nami usiku (La-la-la)
Kama haifai hata ndotoni tu
[Bridge]
Usishindane na kichwa (Aah)
Tumalizane yakaisha (Aah)
Moyo nirudishie maisha (Aah)
Mtupu, mtupu nimekwisha
[Chorus]
Moyo unanikosea, moyo unanikosea
Moyo unanikosea, moyo
Moyo unanikosea
Moyo unanikosea (We moyo)
Moyo unanikosea ('Asa mbona unanitorture?)
Moyo unanikosea (We moyo)
Moyo unanikosea ('Asa mbona unanitorture?)
[Verse 2]
Umeniadhibu chozi tiba yangu (We haya)
Umeziharibu zote hisia zangu (Basi sawa)
Moyo mbona umenitoa chambo?
Moyo we hunanga chanjo
Moyo umenifanya pango
Moyo huishiwi mipango
Waongo wote unawaleta kwangu
Wanaocheati nao ni wa kwangu
Walevi wote nao ni wa kwangu
Mbona unajitеsa?
[Bridge]
Usishindane na kichwa (Aah)
Tumalizane yakaisha (Aah)
Moyo nirudishie maisha (Aah)
Mtupu, mtupu nimеkwisha
[Chorus]
Moyo unanikosea, moyo unanikosea
Moyo unanikosea, moyo
Moyo unanikosea
Moyo unanikosea (We moyo)
Moyo unanikosea ('Asa mbona unanitorture?)
Moyo unanikosea (We moyo)
Moyo unanikosea ('Asa mbona unanitorture, moyo?)
We moyo 'asa mbona unanitorture? (Mbona unanitorture?)
We moyo, 'asa mbona unanitorture?
We moyo
Song Tags
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!