Hawajui - Vanessa Mdee
Hawajui - Vanessa Mdee

Hawajui

16 views

Hawajui Lyrics

[Intro]

Nahreel wussup wussup wussup wussup

[Chorus]

Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana

[Verse]

Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja
Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka
Kila siku beki leo kipa nimekudaka

[Bridge]

We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa

[Chorus]

Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana

[Verse]

Choko choko ndiyo mambo mliozoea
Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah
Eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda
Mungu ndiyo ananilinda

[Bridge]

We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Kunisema kwa ubaya
Na ukiapa kwa Mungu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa

[Chorus]

Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana

[Bridge]

We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa

[Chorus]

Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana

Comments (0)

📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!

Vanessa Mdee Songs

Show all →
Single
2:45