Hawajui Lyrics
[Intro]
Nahreel wussup wussup wussup wussup
[Chorus]
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
[Verse]
Kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
Nini tilalila usiku mchana unabwabwaja
Kwako mi mpira unanicheza unavyotaka
Kila siku beki leo kipa nimekudaka
[Bridge]
We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa
[Chorus]
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
[Verse]
Choko choko ndiyo mambo mliozoea
Kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah
Eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda
Mungu ndiyo ananilinda
[Bridge]
We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Kunisema kwa ubaya
Na ukiapa kwa Mungu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa
[Chorus]
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
[Bridge]
We mwanadamu gani uliyekosa aibu
Huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
Huishi Zogoa Zogoa
Kila Siku Zogoa Zogoa
Ukilala Zogoa Zogoa
[Chorus]
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Hamjui tu nyie
Alichonifunza Mama
Na na ndiyo maana
Hamuishi kutukana
Song Tags
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!