Chapati Lyrics
Zuchu - Chapati Lyrics
(Intro)
LG, aah LG
Mr. LG
(Verse 1)
Dullah, dullah, dullah
Anataka kula
Dullah hataki andazi, anataka kula
Dullah hataki viazi, anataka kula
Dullah, dullah, dullah anataka
Basi kitendawili (tega)
Kitendawili (tega)
Kitendawili (tega)
Kitendawili (tega)
(Bridge)
Kitu flati, kitu laini, katikati aliye na maini
Kitu flati kitu laini, katikati aliye na maini
(Chorus)
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
(Verse 2)
Eh, kwani umeiweka nini mi naipenda?
Kwani umeiweka nini mi naitaka hiyo?
Kwani umeiweka nini mi naipenda?
Kwani umeiweka nini mi naitaka?
Inateleza, tamu inateleza
Inateleza, tamu inateleza
Basi kitendawili (tega)
Kitendawili (tega)
Kitendawili (tega)
Kitendawili (tega)
(Bridge)
Kitu flati, kitu laini, katikati aliye na maini
Kitu flati kitu laini, katikati aliye na maini
(Chorus)
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
Chapati, cha-pa-ti
The mix killer

Zuchu Lyrics
Show all →
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!