Zuzu Lyrics
Teslah - Zuzu Lyrics
Baby nimepagawa na sichezi
Niko kwa corner nakucheki
Im in my head na sijiwezi
Aaauu uuu uuu uuu
May be (maybe)
We could have drinks and catch a movie (movie)
Unachotaka I'd go with it
Ukibanduka sina ngori
Oooh ooh ouuh uuuuuh
Sema nami baby
Can't you just here me breath
I need your company (uuuuh)
Sema nami baby (uuuuh)
Can't you just here me breath
I need your company
(Zuzu) nakuwaza
(Zuzu) Unanifanya unanifanya
Zuzu nakuwaza
Zuzu Unanifanya unanifanya
Zuzu nakuwaza
(Zuzu) Unanifanya unanifanya
Zuzu nakuwaza ouuuh
Zuzu Unanifanya zuzu
Sijui ka ni upendo ama dhambi
I feel a fire nakuchizi
So would you please be my king (my king yeeah)
Sidhani ukinitoka nitapona
Head over heels nakuona
Hata niite bila jina nitakuja
Uuuuh
Sema nami baby (uuuuh)
Can't you just here me breath
I need your company
Sema nami baby (uuuuh)
Can't you just here me breath
Oouuh
(Zuzu) nakuwaza
(Zuzu) Unanifanya unanifanya
Zuzu nakuwaza
Zuzu Unanifanya unanifanya (oooh)
Zuzu nakuwaza
(Zuzu) Unanifanya unanifanya
Zuzu nakuwaza
Zuzu Unanifanya zuzu
Kusema sitasema
Lakini minshakupenda mmm baby
We wanifaaa
Kusema sitasema
Lakini minshakupenda mmm baby
We wanifaaa
Kusema sitasema
Lakini minshakupenda mmm baby
We wanifaaa
Kusema sitasema
Lakini minshakupenda mmm baby
We wanifaaa
(Zuzu) nakuwaza (nakuwaazaa)
(Zuzu) Unanifanya unanifanya
Zuzu nakuwaza
Zuzu Unanifanya unanifanya (unanifanya oooh)
Zuzu nakuwaza
(Zuzu) Unanifanya unanifanya
Zuzu nakuwaza
(Zuzu) Unanifanya zuzu
(Zuzu) nakuwaza
(Zuzu) Unanifanya unanifanya
Zuzu nakuwaza
Zuzu Unanifanya unanifanya (unanifanya oooh)
Zuzu nakuwaza
(Zuzu) Unanifanya unanifanya
Zuzu nakuwaza
(Zuzu) Unanifanya unanifanya
Zuzu Unanifanya zuzu
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!