

Zuwena
Diamond Platnumz
- NajuaDiamond Platnumz (feat. Lolilo, OLGA)
- Kizaizai
- Gongo La Mboto (Outcomes)Diamond Platnumz (feat. Mrisho Mpoto)
- Utanipenda
- Waah!Diamond Platnumz (feat. Koffi Olomide)
- Yatapita
- Zuwena
- TereKizz Daniel (feat. Diamond Platnumz)
- Wale WaleZuchu (feat. Diamond Platnumz)
- Wale WaleZuchu (feat. Diamond Platnumz)
- MelodyDiamond Platnumz (feat. Jaywillz)
- Somebody
- Fine
- MtasubiriDiamond Platnumz (feat. Zuchu)
- SonaDiamond Platnumz (feat. Adekunle Gold)
- Loyal
- Wonder
- Nawaza
- OkaDiamond Platnumz (feat. Mbosso)
- FreshDiamond Platnumz (feat. Costa Titch, Pabi Cooper, Focalistic)
- HallelujahDiamond Platnumz (feat. Morgan Heritage)
- WakaDiamond Platnumz (feat. Rick Ross)
- BaikokoMbosso (feat. Diamond Platnumz)
- PamelaDiamond Platnumz (feat. Young Killer)
- IyenaDiamond Platnumz (feat. Rayvanny)
- Kosa Langu
- Kosa Langu
- Nikuone
- BailaDiamond Platnumz (feat. Miri Ben-Ari)
- Sijaona
- African BeautyDiamond Platnumz (feat. Omarion)
- Eneka
- FireDiamond Platnumz (feat. Tiwa Savage)
- Marry YouDiamond Platnumz (feat. Ne-Yo)
- Number One (remix)Diamond Platnumz (feat. Davido)
- NanaDiamond Platnumz (feat. Flavour)
- KidogoDiamond Platnumz (feat. P-Square)
- AmandaDiamond Platnumz (feat. Jah Prayzah)
- Far AwayDiamond Platnumz (feat. Vanessa Mdee)
- SuperstarCosta Titch (feat. Diamond Platnumz)
- SuperwomanBlaq Jerzee (feat. Diamond Platnumz)
- ShushaBaba Levo (feat. Diamond Platnumz)
- Wasted Energy (Remix)Alicia Keys (feat. Diamond Platnumz, Kaash Paige)
- Make Me Sing
- LitawachomaZuchu (feat. Diamond Platnumz)
- ShangiliaZuchu (feat. Diamond Platnumz)
- ChecheZuchu (feat. Diamond Platnumz)
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!
Cheche Lyrics
(Ayolizer)
Mhhh!! Habari gani kaka naamini unanisikia
Mimi mzima wa afya, mama Mungu anasaidia
Toka ulipotuacha mahututi anazidiwa
Bibi presha presha nae akatangulia
Bado twakuombea ulale salama pema
Japo moyoni nina dukuduku
Natamani kusema, nisemeee
Zile mali husia ulizotuhusia tuligawa salama
Zuwena zote tukampatia tusiwe ndugu lawama
Ila Zuwena kaka amebadilika sana
Yaani shem lake Bi Zuuh wa leo sio yule wa jana
Natamani ungemuona (Zuwena)
Japo ungemuona (Zuwena)
Kidogo tu ungemuona (Zuwena)
Ungemuona (Zuwena)
Ooooh ungemuona (Zuwena)
Aaaah Zuwena (Zuwena)
Ooooh ungemuona Zuwena (Zuwena)
Zuwena oooh (Zuwena)
Mhhh! Zuwena sasa kawa chotara
Sio tena cheusi mangala
Ngozi kaichubua awe muzungu
Anavuta na sigara
Mara Boko, Mwananyamala
Anachezesha tu miamala
Kutwa anaisugua kipepe rungu tena peku bila ndala
Aaah Zuwena siku hizi anabandika kope (Zuwena)
Zuwena mipasuo kama yote (Zuwena)
Ooh Zuwena lipa shika tuondoke (Zuwena)
Aah Zuwena wanamuita cha wote, oh!, oh!
Juzi kabebwa na majirani hata hajitambui (Zuwena)
Yaani kalewa tafarani kautwika mbwi (Zuwena)
Zuwena sio tena wa ibada na dini
Sadaka chenji asaidie
Siku hizi kageuka pedeshee wa mjini
Kutunza bendi wamsifie
Na lile gari lako urithi wa babu la kulishia ng’ombe
Siku hizi kama kwato kwenye vilabu linabebea pombe
Mama Dede kitandani hawezi hata kutembea
Zuwena ameshindwa hata kuja kumuona panadol kumletea
Natamani ungemuona (Zuwena)
Japo ungemuona (Zuwena)
Kidogo tu ungemuona (Zuwena)
Ungemuona (Zuwena)
Ooooh ungemuona (Zuwena)
Aaaah Zuwena (Zuwena)
Ooooh ungemuona Zuwena (Zuwena)
Zuwena (Zuwena)
Siku hizi kataradadi
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Anajiita J-Lo
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Eti mzungu mweusi
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Anatunyoosha baba
Anadanga anakula ndizi kwa maganda