Wa Peke Yangu
Jay Melody
-
BadoJay Melody (feat. Marissa Tz, Benson Hauzimi) -
Forever -
Nahodha -
Wa Peke Yangu -
UsiniacheJay Melody (feat. Phina) -
Watu -
Unanimaliza -
Diamond -
18 -
Sielewi -
Sio Sawa -
Siyawezi -
Katika -
Superstar
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!
Superstar Lyrics
[Intro]
JINI X66
Ah, ah, ah
Ah, ah
Ah, ah, ah
Jay Once Again
[Verse 1]
Vi macho na zake lips
Kumpata sio rahisi
Yaani kweli Mungu umenibariki
Mimi umenibariki
Na kabla ya hii gift
Ukatufanya marafiki
Mpaka sasa penzi liko lit
Moto, kiukweli
[Pre-Chorus]
Yaani kama nimeokota dodo
Chini ya mpera, nimeokota dodo
Na siambiliki, hata kidogo
Mwenzenu mimi, nimeokota dodo
[Chorus]
Wa pekee yangu
Huyu
Wa pekee yangu
Huyu
Wa pekee yangu
Wa pekee yangu
Jamani, wa pekee yangu
Huyu
Wa pekee yangu
Huyu
Wa pekee yangu
Wa pekee yangu
[Verse 2]
Mapenzi gani haya anayonipa? (Anayonipa)
Mpaka damu nasikia inavyo pita
Kwenye moyo pia kwenye mishipa
(Mishipa)
Au tuseme ndio kashanishika
[Pre-Chorus]
Yaani kama nimeokota dodo
Chini ya mpera, nimeokota dodo
Na siambiliki, hata kidogo
Mwenzenu mimi, nimeokota dodo
[Chorus]
Wa pekee yangu
Huyu
Wa pekee yangu
Huyu
Wa pekee yangu
Wa pekee yangu
Jamani, wa pekee yangu
Huyu
Wa pekee yangu
Huyu
Wa pekee yangu
Wa pekee yangu
[Bridge]
Darling, yupo moyoni
Nnavyo muota, usingizini
Jamani, darling yupo moyoni
Nnavyo muota, usingizini
[Post-Chorus]
Wa pekee yangu
Huyu
Wa pekee yangu
Huyu
Wa pekee yangu
(Oh, na-na-na-na)
Wa pekee yangu
Jamani, wa pekee yangu (Pekee)
Huyu
Wa pekee yangu (Mimi hapa)
Huyu
Wa pekee yangu
Wa pekee yangu
[Outro]
I love you babe
Music