Turudiane
Jay Melody
-
Sale SaleGeniusjini X66 (feat. Jay Melody) -
Far AwayGeniusjini X66 (feat. Jay Melody) -
ValentineGeniusjini X66 (feat. Jay Melody) -
WeweGeniusjini X66 (feat. Jay Melody) -
JuuGeniusjini X66 (feat. Jay Melody) -
Hawatoi -
I Don't Know -
NishalowaJay Melody (feat. Alikiba) -
Hujaona Bado -
My DearestJay Melody (feat. Jux) -
Kiguu na Njia -
Tila LilaJay Melody (feat. MwanaFA) -
Sina -
Mara Ya Kwanza -
Jirani -
Mtoto -
My Dearest (LoFi Version)Jay Melody (feat. Jux) -
Nazama -
Turudiane -
BadoJay Melody (feat. Marissa Tz, Benson Hauzimi) -
Forever -
Nahodha -
Wa Peke Yangu -
UsiniacheJay Melody (feat. Phina) -
Watu -
Unanimaliza -
Diamond -
18 -
Sielewi -
Sio Sawa -
Siyawezi -
Katika -
Superstar -
In Love -
Niwe -
Nitasema -
Mbali Nawe -
Baridi -
Na Iwe Kheri -
Sawa (Acoustic) -
Sawa -
Nakupenda -
Acha Wivu -
Huba Hulu -
Namwaga MbogaJay Melody (feat. Nandy) -
Sambaloketo -
Najieka -
Sugar (Remix)Jay Melody (feat. Marioo) -
Sugar (Acoustic Version) -
Sugar
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!
Sugar Lyrics
[Intro]
Onaa nana nana nanaaaah
Anaitwaje uyo? Jay, Jay once again
[Verse 1]
Nilikukosea, naomba unisamehe
Nishajionea, kwamba sina lolote
Bila wewe siwezi endelea
Naomba twendelee
Yalikuwa matamu, mapenzi yetu
Yalikuwa super, aaah
[Pre-Chorus]
Aaaaah ah, ex dua gani ulivoisoma?
Aah, kama ndio cha moto nimekiona
Aku siwezi, kujifanya niko sawa kumbe inachoma
Inaumiza, nimeshindwa kukaza
[Chorus]
Mwenzako nataka, turudiane
Mwenzio nataka, turudiane
Mwenzako nataka, turudiane
Mwenzio nataka, turudiane
Uuh nana nanana ooh
[Verse 2]
Weeh, saa sita, saa saba usiku
Nitakupigia na kitu
Nawe pokea japo tu
Nikuongeleshe kakitu
Uko inje, kila mtu wa mtu
Nishakuwa single my siku
Basi nielewa kiduchu
Tumalize hili bifu
[Bridge]
Nimeshindwa kumovе on
Nimeshindwa kumove on
Hata siwezi, kumovе on
Wanawezaje, kumove on?
[Pre-Chorus]
EX dua gani ulivoisoma?
Aah, kama ndio cha moto nimekiona
Aku siwezi, kujifanya niko sawa kumbe inachoma
Inaumiza, nimeshindwa kukaza
[Chorus]
Mwenzako nataka, turudiane
Mwenzio nataka, turudiane
Mwenzako nataka, turudiane
Mwenzio nataka, turudiane
[Outro]
Once again
Mwenzio nataka, turudiane