Sawa
Jay Melody
-
Sale SaleGeniusjini X66 (feat. Jay Melody) -
Far AwayGeniusjini X66 (feat. Jay Melody) -
ValentineGeniusjini X66 (feat. Jay Melody) -
WeweGeniusjini X66 (feat. Jay Melody) -
JuuGeniusjini X66 (feat. Jay Melody) -
Hawatoi -
I Don't Know -
NishalowaJay Melody (feat. Alikiba) -
Hujaona Bado -
My DearestJay Melody (feat. Jux) -
Kiguu na Njia -
Tila LilaJay Melody (feat. MwanaFA) -
Sina -
Mara Ya Kwanza -
Jirani -
Mtoto -
My Dearest (LoFi Version)Jay Melody (feat. Jux) -
Nazama -
Turudiane -
BadoJay Melody (feat. Marissa Tz, Benson Hauzimi) -
Forever -
Nahodha -
Wa Peke Yangu -
UsiniacheJay Melody (feat. Phina) -
Watu -
Unanimaliza -
Diamond -
18 -
Sielewi -
Sio Sawa -
Siyawezi -
Katika -
Superstar -
In Love -
Niwe -
Nitasema -
Mbali Nawe -
Baridi -
Na Iwe Kheri -
Sawa (Acoustic) -
Sawa -
Nakupenda -
Acha Wivu -
Huba Hulu -
Namwaga MbogaJay Melody (feat. Nandy) -
Sambaloketo -
Najieka -
Sugar (Remix)Jay Melody (feat. Marioo) -
Sugar (Acoustic Version) -
Sugar
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!
Sugar Lyrics
[Intro]
Jay once again
[Verse]
Mapenzi tu
Nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali
Namwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu
Ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali
Mi nailamba tu
[Bridge]
Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma
[Chorus]
Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (Sawa) Right (Sawa) Sawa
[Verse]
Huo utamu hasa nikiingia
Akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia
Na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya kuchange idea
Hapo hapo nimemng’ang’ania
Hapo hapo nimeshikilia
Na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
[Bridge]
Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma
[Chorus]
Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (Sawa) Right (Sawa) Sawa