

Pwita
Zuchu
- LollipopZuchu (feat. Yemi Alade)
- Mwizi
- Antenna
- Makonzi
- I Don't Care
- TininiZuchu (feat. H_Art The Band)
- Mama
- Nimechoka
- Wale WaleZuchu (feat. Diamond Platnumz)
- Antenna
- Napambana
- Naringa
- Pwita
- Shika
- Two
- Utaniua
- Utaniua (Acoustic)
- Utaniua (Special)
- Wale WaleZuchu (feat. Diamond Platnumz)
- ZawadiZuchu (feat. Dadiposlim)
- MtasubiriDiamond Platnumz (feat. Zuchu)
- Nani
- Honey
- Chapati
- Mwambieni
- LoveZuchu (feat. Adekunle Gold)
- Fire (Acoustic)
- Fire
- Jaro (Acoustic)
- Jaro
- Kwikwi
- Yalaaaa
- Sukari
- Nyumba Ndogo
- KituZuchu (feat. Bontle Smith, Tyler ICU)
- Kazi Lendelee
- Nobody (Unplugged)
- Cheche (Unplugged)
- Litawachoma (Unplugged)
- Number One (Unplugged)
- Sukari (Unplugged)
- LitawachomaZuchu (feat. Diamond Platnumz)
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!
Litawachoma Lyrics
(Intro)
(Ayo Lizer)
(Verse 1)
Wa rohoni
Ukweli kabisa nakukunda chane
Hapo moyoni
Peke yako umeka, you are the only one, ayaya
Nawataarifu nimempata mwenyewe
Huyu ndo anaenifaa haya
Na nisitake kitu lazima tu nipewe
Sione nawakata aya
(Pre Chorus)
Nami naahidi (mh, nami naahidi aye)
Chaguo langu ni wewe (chaguo langu ni wewe)
Sina wa zaidi (ah, sina, sina)
Nitakupenda milele, eh-eh
(Chorus)
Pwita, pwita, pwita, pwita
Pwita, pwita, moyo unani pwita, pwita
Pwita, pwita, pwita, pwita
Pwita, pwita, moyo unani pwita, pwita
(Verse 2)
Tunaendana, hamuoni hata mkitutazama
Tunapendana, mi' nae kufa kuzikana
Ananipa tende nampa asali (asali)
Mpende msipende wala sijali (sijali)
Nami na, ah
(Pre Chorus)
Nami naahidi (ah, nami naahidi aye)
Chaguo langu ni wewe (chaguo langu ni wewe)
Sina wa zaidi (ah, sina, sina)
Nitakupеnda milele, eh-еh
(Chorus)
Pwita, pwita (ai jamani)
Pwita, pwita (unani pwita mimi)
Pwita, pwita moyo unani pwita, pwita (mh)
Pwita, pwita (ai jamanii)
Pwita, pwita (likitajwa jina lako)
Pwita, pwita moyo unani pwita, pwita
(Outro)
Mh wacha Lizer nibakishie
Ai wewe mama
Eti, iyi, iyi, iyi, iyi, iyi, iyi, ah
Ha, ha, njoo tucheze kompa
Oh, oh-oh
Oh, oh-oh