Mr. DJ
Maua Sama
-
NampendaGeniusjini X66 (feat. Maua Sama) -
I Don't Care -
Miayo -
Nitampata WapiMaua Sama (feat. Jay Melody) -
Feelings -
Online -
Zamani -
Keep Quiet -
Cheat -
Kiss Me -
Mr. DJ -
Yamenizidi -
Pambe -
Shukurani -
Baba JeniMaua Sama (feat. Nay Wa Mitego) -
Baba Jeni -
AwayMaua Sama (feat. Young Lunya) -
Zai -
ChuchumaaMaua Sama (feat. Nyoshi El Saadat) -
Kan Dance -
Tomorrow -
Namwachia -
Never Ever -
Vimba -
Nimeridhia -
Niteke -
Let Them Know -
Sisikii -
Nakuelewa -
Main Chick -
Katu Katu -
Mahaba Niue -
BounceVanessa Mdee (feat. Maua Sama, Tommy Flava)
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!
Bounce Lyrics
[Intro]
Samaaaaa!
[Verse 1]
Ulivyoniacha ulijua nitakufa
Ulivyoniacha ulijua nitaded
Ona mungu kanipigania mi nanenepa
Ona baba yeye kanipigania
[Pre-Chorus]
Sasa sasa hasira zanini (hasira zanini)
Makasiriko ya nini
We si uliniacha jamani
Una wako nyumbani
[Chorus]
Mr Dj weka wimbo
Nataka ex anione nimenunua iphone
Mr Dj weka wimbo
Nataka nimkere ex mpaka atoke humo ndani
Ebu toka hapa mwenzio nishajipata
Nishajipata mwenzio nishajipata
[Verse 2]
Mapenzi kudadadek
Mtu unampa moyo vyote kapiga deki
Toka hapa baba hunipati
Japo ata mia sina ila haunishiki
[Pre-Chorus]
Sasa sasa hasira zanini (hasira zanini)
Makasiriko ya nini
We si uliniacha jamani
Una wako nyumbani
[Chorus]
Mr Dj weka wimbo
Nataka ex anione nimenunua iphone
Mr Dj weka wimbo
Nataka nimkere ex mpaka atoke humo ndani