

Mikogo Sio
Jay Melody
- Far AwayGeniusjini X66 (feat. Jay Melody)
- ValentineGeniusjini X66 (feat. Jay Melody)
- WeweGeniusjini X66 (feat. Jay Melody)
- JuuGeniusjini X66 (feat. Jay Melody)
- Hawatoi
- I Don't Know
- NishalowaJay Melody (feat. Alikiba)
- Hujaona Bado
- My DearestJay Melody (feat. Jux)
- Kiguu na Njia
- Tila LilaJay Melody (feat. MwanaFA)
- Sina
- Mara Ya Kwanza
- Jirani
- Mtoto
- My Dearest (LoFi Version)Jay Melody (feat. Jux)
- Nazama
- Turudiane
- BadoJay Melody (feat. Marissa Tz, Benson Hauzimi)
- Forever
- Nahodha
- Wa Peke Yangu
- UsiniacheJay Melody (feat. Phina)
- Watu
- Unanimaliza
- Diamond
- 18
- Sielewi
- Sio Sawa
- Siyawezi
- Katika
- Superstar
- In Love
- Niwe
- Nitasema
- Mbali Nawe
- Baridi
- Na Iwe Kheri
- Sawa (Acoustic)
- Sawa
- Nakupenda
- Acha Wivu
- Huba Hulu
- Namwaga MbogaJay Melody (feat. Nandy)
- Sambaloketo
- Najieka
- Sugar (Remix)Jay Melody (feat. Marioo)
- Sugar (Acoustic Version)
- Sugar
- Halafu
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!
Halafu Lyrics
[Verse]
Wakati we ukiwa na mimi unajishaua
Mashauzi mengi kujishebedua
Najiulizaga kwanini unasasambua
Mpaka kwa marafiki aibu
[Pre-Chorus]
Basi niambie wewe kama nataka jina
Kwa ajili yako nafanya mwenzako nikose heshima
Vipi nikuelewe eeh au bado unapima
Maji ya shingo utaniua mama umezidi kina
[Chorus]
Unataka kiki sio? (Aah eeh)
Iyo mikogo sio (Aah eeh)
Utakuja kunifelisha mwenzako sama-han
Unataka kiki sio? (Aah eeh)
Iyo mikogo sio (Aah eeh)
Utakuja kunifelisha mwenzako
[Verse]
Niliamini unanifaa we ndo mamaa
Asaa iweje unapagawa na ustaa
Zuku bambataa bolingo charangaa
Nilizicheza kwenye giza kwenye taa
Ujue mi bila we nafeli (Aaah)
Ona nakonda kideli (Ooh kideli mama)
[Verse]
Na mambo unayofanyaga ndo yanafanya nipagawee
Ujue mi najuaga kwako niko mwenyewe
Na kumbe mazigizaga maporomoko ya mawee
Unavonifanyiaga ndo balaa
[Pre-Chorus]
Basi niambie wewe kama nataka jina
Kwa ajili yako nafanya mwenzako nikose heshima
Vipi nikuelewe eeh au bado unapima
Maji ya shingo utaniua mama umezidi kina
[Chorus]
Unataka kiki sio? (Aah eeh)
Iyo mikogo sio (Aah eeh)
Utakuja kunifelisha mwenzako sama-han
Unataka kiki sio? (Aah eeh)
Iyo mikogo sio (Aah eeh)
Utakuja kunifelisha mwenzako