

Katu Katu
Maua Sama
- I Don't Care
- Miayo
- Nitampata WapiMaua Sama (feat. Jay Melody)
- Feelings
- Online
- Zamani
- Keep Quiet
- Cheat
- Kiss Me
- Mr. DJ
- Yamenizidi
- Pambe
- Shukurani
- Baba JeniMaua Sama (feat. Nay Wa Mitego)
- Baba Jeni
- AwayMaua Sama (feat. Young Lunya)
- Zai
- ChuchumaaMaua Sama (feat. Nyoshi El Saadat)
- Kan Dance
- Tomorrow
- Namwachia
- Never Ever
- Vimba
- Nimeridhia
- Niteke
- Let Them Know
- Sisikii
- Nakuelewa
- Main Chick
- Katu Katu
- Mahaba Niue
- BounceVanessa Mdee (feat. Maua Sama, Tommy Flava)
Comments (0)
📌 By commenting, you agree to follow these rules. Let’s keep PearlTunes, Africa a safe and vibrant place for music lovers!
Bounce Lyrics
[Intro]
Baby yeah
Sama
Uh uh, Uh uh
Uh uh, Uh uh
[Verse 1]
Hitaji la moyo
Nifanye nn kwako ili nitimize
Kwa penzi la uchoyo
Uclipende na bado nafsi ikupenge (oh baby)
[Pre-Chorus]
Kama umeshachoshwa nami nambie (he he he)
Kuliko kunifanya mapenzi nichukie (he he he)
Nicpende mwingine mapenzi nijutie (he he he)
Kuhofia ya leo yacjirudie (he he hheeee.)
[Chorus]
Katu katu katu
Katu katu katu
Katu katu katu (penzi hili ni katu)
Katu katu katu
Katu katu katu
Katu katu katu (penzi hili ni katu)
[Verse 2]
Oh baby penzi umelitia doa
Na kama n jazba, sawa nabidi kukosoa
HNa shindwa roho kwa haya mateso
Nikidharau itakuwa kamchezo
Hunidanganye
Kumbe unipendi bwana aaaaah!
[Pre-Chorus]
Kama umeshachoshwa nami nambie (he he he)
Kuliko kunifanya mapenzi nichukie (he he he)
Nicpende mwingine mapenzi nijutie (he he he)
Kuhofia ya leo yacnirudie yeyeeeee
[Chorus]
Katu katu katu
Katu katu katu
Katu katu katu (penzi hili ni katu)
Katu katu katu
Katu katu katu
Katu katu katu (penzi hili ni katu)
[Pre-Chorus]
Kama umeshachoshwa nami nambie (he he he)
Kuliko kunifanya mapenzi nichukie (he he he)
Nicpende mwingine mapenzi nijutie (he he he)
Kuhofia ya leo yacnirudie yeyeeeee
[Chorus]
Katu katu katu
Katu katu katu
Katu katu katu (penzi hili ni katu)
Katu katu katu
Katu katu katu
Katu katu katu (penzi hili ni katu)